Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mh. Haroun Ali Suleiman akitowa taarifa ya utekelezaji wa Wizara yake wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar,mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa wizara hiyo mazizini Zanzibar.
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
-
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya
Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto
Akiendel...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment