Habari za Punde

ZSTC yajipanga kwa ajili ya msimu ujao wa karafuu


Mkurugenzi Fedha wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC), Ismail Omar Bai, akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbali mbali huko Micheweni Pemba, juu ya Shirika hilo lilivyojipanga katika kuliokowa zao la Karafuu kwa msimu unaokuja ambalo lina tarajiwa kuwa kubwa.

Picha na bakar Mussa-Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.