Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono wananchi wakati akitembelea mabanda mbalimbali baada ya kufungua rasmi maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo. Rais Magufuli ameyafungua rasmi Maonyesho hayo, yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017, ambapo kwa ushauri wake, Maonyesho haya kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017. Picha na Ikulu.
PIGENI KURA OKTOBA 29, MTUDAI MAENDELEO - DKT. BITEKO
-
Mgombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya CCM Dkt. Doto
Biteko akiwahutubia lwananchi wa Msonga Kata ya Runzewe Mashariki ikiwa ni
sehem...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment