MKUU
Wa Wilaya ya Chake Chake kutoka kushoto Salama Mbarouk Khatib ,akisikiliza mnada wa ukodishwajki
wa Mashamba ya eka za Seikali mbele ya Dalali wa Serikali kutoka idara ya
Misitu Pemba Fumu Ali Fumu ,huko katika bonde
la Mtimbu Shehia ya Chonga , (Picha na Thureya
Ghalibu, Pemba ).
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment