Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma, akimkabidhi hundi ya shilingi Milioni tano mshika fedha wa Kikundi cha ICT SOLUTION cha Mwanakwerekwe Bi.Tatu Ali Haji kwa ajili ya kupeana mikopo nafuu kwa kuendeleza kikundi hicho katika hafla ya sherehe hizo zilizofanyika katika ukumbi wa Mamlaka ya Vyuo vya Amali Migombani Unguja
(Picha na Abdallah Omar,- Habari Maelezo).
No comments:
Post a Comment