Habari za Punde

ZLSC Yatowa Elimu ya Haki za Binaadamu.

AFISA ufuatiliaji na Tathimini kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, Khamis Khatib Mohamed, akielezea nini maana ya tathimini, kwenye mkutano wa siku moja ya kufanya tathimini, kwa watu wenye ulemavu kisiwani Pemba, kufuatia mafunzo ya haki za binadamu waliowahi kupewa, mkutano huo ulifanyika ZLSC mjini Chakechake
MJUMBE wa baraza la taifa la watu wenye ulamavu Zanzibar, Salum Abdalla Salum akiwasilisha kazi za vikundi, kwenye mkutano wa siku moja wa kufanya tathmini wa mafunzo ya haki za binadamu kwa watu wenye ulemavu, ulioandaliwa na kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba.
WATU wenye ulemavu kutoka jumuia kadhaa kisiwani Pemba, wakijadili jambo kwenye kazi za vikundi, ndani ya mkutano wa tathmini juu ya mafunzo ya haki za binadamu waliowahi kupewa, na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na mkutano huo kufanyika mjini Chakechake
WATU wenye ulemavu kutoka jumuia kadhaa kisiwani Pemba, wakijadili jambo kwenye kazi za vikundi, ndani ya mkutano wa tathmini juu ya mafunzo ya haki za binadamu waliowahi kupewa, na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na mkutano huo kufanyika mjini Chakechake
MWENYEKITI wa Jumuia ya wasioona wilaya ya Mkoani Pemba Ali Hemed Khalifa, akitoa sababu za jamii kuendelea kutowapa ushirikiano, kwenye mkutano wa tathimini juu ya mafunzo ya haki za binadamu, waliowahi kupewa kundi hilo, mkutano huo ulifanyika ZLSC mjini Chakechake,
Picha na Haji Nassor, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.