KAMADA wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan
Mohamed Sheikhan, akiwaonyesha waandishi wa habari hawapo pichani, mbinu mpya
zinazotumiwa na wasafirishaji wa madawa ya kulevya, kutoka Unguja na kuingia
Pemba kwa kupekiwa ndani ya DVD,jeshi hilo limekamata kete 969 zikiwa
zimehifadhiwa humo.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
UBALOZI WA TANZANIA NCHINI PARIS WAONGOZAA USHIRIKI WA WADAU MAONESHO YA
UTALII YA B-TRAVEL
-
Na Mwandishi Wetu, Barcelona
UBALOZI wa Tanzania nchini Ufaransa ambao unawakilisha pia nchini
Uhispania, kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment