KAMADA wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan
Mohamed Sheikhan, akiwaonyesha waandishi wa habari hawapo pichani, mbinu mpya
zinazotumiwa na wasafirishaji wa madawa ya kulevya, kutoka Unguja na kuingia
Pemba kwa kupekiwa ndani ya DVD,jeshi hilo limekamata kete 969 zikiwa
zimehifadhiwa humo.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment