KAMADA wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan
Mohamed Sheikhan, akiwaonyesha waandishi wa habari hawapo pichani, mbinu mpya
zinazotumiwa na wasafirishaji wa madawa ya kulevya, kutoka Unguja na kuingia
Pemba kwa kupekiwa ndani ya DVD,jeshi hilo limekamata kete 969 zikiwa
zimehifadhiwa humo.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
OSHA, MUHAS WAJADILI USALAMA KAZINI, WAPENDEKEZA UTEKELEZAJI WA SERA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
INGAWA kazi ni nguzo muhimu ya ustawi wa maisha ya binadamu, haitakuwa na
maana endapo itaambatana na madhara ya kiafya au v...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment