Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana
na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akielekea kupanda
ndege kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege wa
kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akielekea kupanda ndege kwenda
mkoani Arusha kwa ajili ya ziara ya Kikazi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege wa
kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akielekea kupanda ndege kwenda
mkoani Arusha kwa ajili ya ziara ya Kikazi.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment