Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Bungi wakati wa hafla ya kukabidhi matofali na vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya skuli hiyo hafla hiyo imefanyika katika viwanja skuli hiyo, wakifurahia na Mwakilishi wao.amekabidhi vifaa vya shilingi milioni Sita.kwa ajili ya kukamilisha jengo la skuli.
BALOZI DK.NCHIMBI AMWAKILISHA RAIS SAMIA KUMUAGA HAYATI SONGAMBELE MKOANI
RUVUMA
-
Na Mwandishi Wetu,Songea
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,D...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment