Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (wa tatu kushoto) akiwa na baadhi ya viongozi wakicheza pamoja na wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Wasonjo kutoka Ngorongoro, wakati wa Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2017, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Tukuyu Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, jana Sep 22, 2017. Picha na Muhidin Sufiani
TUME YA USHINDANI (FCC), KUTUMIA FURSA YA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA
KIMATAIFA (SABASABA) KWA KUTOA ELIMU KWA UMMA
-
Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma
akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua
bid...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment