Uwanja wa Mpira wa Gombani Kisiwani Pemba ukioneka ukipendeza baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo hayo kwa kuweka rangi na uwanja wa mpira kuweka nyasi za kisasa na njia ya kukimbilia kukarabatiwa na kuwa na kiwango cha Kimataifa katika Uwanja huo.
KATAMBI ASISITIZA UMUHIMU WA MICHEZO KWA WAFANYAKAZI
-
Na Mwandishi Wetu - Singida
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu
Mhe. Patrobas Katambi ametoa wito kwa Waajiri na Vyama...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment