Uwanja wa Mpira wa Gombani Kisiwani Pemba ukioneka ukipendeza baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo hayo kwa kuweka rangi na uwanja wa mpira kuweka nyasi za kisasa na njia ya kukimbilia kukarabatiwa na kuwa na kiwango cha Kimataifa katika Uwanja huo.
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment