Mshambuliaji wa Timu ya JKU akiwapita mabeki wa Timu ya Miembeni City wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshina bao 1-0.
Mchezaji wa Timu ya JKU na Miembeni City wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Kocha Mkuu wa Timu ya Miembeni City Seif King akifuatilia mchezo wa Timu yake na Timu ya JKU uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Mshambuliaji wa Timu ya JKU akijaribu kumpita beki wa Timu ya Miembeni City.
No comments:
Post a Comment