Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu), akikagua gwaride la heshima wakati
wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),
iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar
es Salaam
Katibu Mkuu wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest
Rwegasira (Mstaafu) na Meja Jenerali Simon Mumwi (Mstaafu) (kulia aliyesimama
kwenye gari), wakisukumwa kwenye gari inayotembea mwendo wa taratibu kuashiria kumalizika kwa utumishi wao
katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakati wa hafla ya kuwaaga, iliyofanyika
leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu) akiagana na Mkuu wa Majeshi ya
Ulinzi , Jenerali Venance Mabeyo, baada
ya kumaliza utumishi katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakati wa
hafla ya kuwaaga watumishi wa jeshi hilo, iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa,jijini Dar
es Salaam.
Gwaride la Heshima likipita mbele ya Katibu Mkuu
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu),
wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi
la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo
iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi,Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu)
na Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi
la Kujenga Taifa,Dk. Florens Turuka(kulia), wakizungumza wakati wa hafla ya
kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo
katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Ambapo
Meja Jenerali Rwegasira (Mstaafu), aliagwa baada ya kumaliza utumishi wake
katika jeshi hilo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu), akizungumza na Meja
Jenerali James Mwakibolwa wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo
Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Ambapo Meja Jenerali Projest Rwegasira
(Mstaafu),aliagwa baada ya kumaliza utumishi wake katika jeshi hilo.Kushoto ni Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, Jenerali Venance Mabeyo
Katibu Mkuu wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu), akiagana
na Meja Jenerali, James Mwakibolwa baada
ya hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi
la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo
iliyopo Barabara ya Kilwa,jijini Dar es Salaam. Ambapo Meja Jenerali Projest
Rwegasira (Mstaafu), aliagwa baada ya kumaliza utumishi wake katika jeshi hilo.Picha
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment