Katibu wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa
Kimataifa wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi,
Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akipiga makofi baada ya kuwasili katika Mkutano wa Uchaguzi wa Jumuiya ya
Umoja wa Wazazi wa chama hicho,mkoa wa Dar es Salaam, Mkutano huo umefanyika
leo Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam
Katibu wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa
Kimataifa wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi,
Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Uchaguzi wa
Jumuiya ya Umoja wa Wazazi wa chama hicho, mkoa wa Dar es Salaam, mkutano huo
umefanyika leo, katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi
mkoa wa Dar es Salaam, Angela Kizigha, akizungumza wakati wa Mkutano
wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi wa chama hicho, mkoa wa Dar es
Salaam. Kushoto aliyevaa kofia ni Mgeni
Rasmi na Katibu wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa Kamati Maalumu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi, Mhandisi Hamad Masauni. Mkutano
huo umefanyika leo, katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam
Katibu wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa
Kimataifa wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi,
Mhandisi Hamad Masauni akimkabidhi cheti cha Uongozi , Kiongozi anayemaliza
muda wake katika Jumuiya ya Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Dar
es Salaam, Ibrahim Mpwapwa (kulia), wakati wa mkutano uliofanyika leo,ukumbi wa
Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment