Afisa uhusiano kutoka mamlaka ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumu (ZAECA)Mwanaidi Suleiman Ali akisoma ratiba ya Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Mussa Haji Ali akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja..Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Mgeni rasmi Katibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kubingwa Mashaka Simba akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja..Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Baadhi ya Vijana na wageni waalikwa waliohudhuria katika Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja..Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Afisa Elimu Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Yussuf Juma akiwasilisha mada ya Nafasi ya Vijana katika kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi katika Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja..Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi
Mwenyekiti wa Vijana Shehia ya Kikwajuni Abdulrahman Ali Mrisho akitoa mchango wake katika Uzinduzi wa Kongamano la Vijana kuhusu kupambana na kutokomeza vitendo vya Rushwa na Uhujumu Uchumi hafla iliofanyika Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni mjini Unguja..Ikiwa ni shamra shamra za Wiki ya kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Picha na Yussuf Simai - Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment