" KERO " Maji ambayo yamekuwa yakitoka katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, wakati mvua inaponyesha kutokana na Paipu za kutolea maji zilivyowekwa , na maji hayo huingia katika majumba ya Wananchi waliokaribu na Jengo la Hospitali hiyo , jambo ambalo linaweza kusababisha maradhi ya mripuko.
PICHA KUTOKA PEMBA
No comments:
Post a Comment