MKURUGENZI wa Idara ya Mambo ya Nje Balozi
Mohammed Hamza akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Muungano Kapteni wa
Timu ya JKT Mbweni Zamzam Mohammed baada ya timu yao kiubuka mabingwa kwa mwaka
2017/2018, mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar JKT imeshinda
kwa mabao 31 - 29
Mchezaji wa Timu ya JKT Mbweni Elizabeth Masenyi akiwa na mpira huku mchezaji wa Timu ya Uhamiaji Chuki George akijianda kumzuiya wakati wa mchezo wao wa fainali ya Kombe la Muungano mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar Timu ya JKT imeshinda mchezo huo, na kutoa Ubingwa wa Kombe la Muungano. kwa ushindi wa bao 31 - 29.
Mchezaji wa Timu ya JKT Mbweni Zamzam Mohammed akiruka kudaka mpira huku mchezaji wa Timu ya Uhamiaji Beltina Kazinja akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar Timu ya JKT Mbweni imeshinda mchezo huo kwa mabao 31 - 29.
Mchezaji wa Timu ya JKT Mbweni Elizabeth Masenyi akiwa na mpira huku mchezaji wa Timu ya Uhamiaji Chuki George akijianda kumzuiya wakati wa mchezo wao wa fainali ya Kombe la Muungano mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Zanzibar Timu ya JKT imeshinda mchezo huo, na kutoa Ubingwa wa Kombe la Muungano. kwa ushindi wa bao 31 - 29.
No comments:
Post a Comment