Habari za Punde

Masheha Wilaya ya Mkoani wapewa taaluma ya kukabiliana na maafa

 KATIBU Tawala Wilaya ya Mkoani Miza Hassan Faki, akizungumza na masheha wa Wilaya hiyo, wakati walipokuwa wakipewa taaluma ya kukabiliana na maafa Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MASHEHA wa Wilaya ya wakiwasikiliza viongozi kutoka Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Pemba, wakati wa utoaji wa elimu ya maafa kwa masheha hao juu ya uanzishwaji wa Makati za shehia.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MRATIB wa Kamisheni ya Kukabiliana na maafa Pemba, Khamis Arazak Khamis akitoa maelezo ya juu ya Ripoti ya kitaalamu ya kukabiliana na maafa Zanzibar, wakati walipokutana na masheha wa Wilaya ya Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA sheria kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, Khamis Hamza Chilo akitoa maelezo kwa masheha wa Wilaya ya Mkoani, juu ya uwepo wa sheria namba 1 ya mwaka 2015 ya kukabiliana na maafa Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
SHEHA wa Shehia ya Kengeja Mohamed Kassim Mohamed, akichangia mada katika kikao cha Pamoja na Viongozi wa kamisheni ya kukabiliana na maafa Pemba, wakati wa utoaji wa elimu juu ya kukabiliana na maafa kwa masheha wa Wilaya ya Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.