Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na waumini wengine wa
Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay wakishiriki Ibada ya
jumapili ya Familia Takatifu katika
Kanisa hilo la jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishukuru mara baada ya
kushiriki Sakramenti Takatifu katika Ibada ya Jumapili ya Familia Takatifu iliyofanyika katika Kanisa
la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishukuru mara baada ya
kushiriki Sakramenti Takatifu katika Ibada ya Jumapili ya Familia Takatifu iliyofanyika katika Kanisa
la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitakiana Heri na
Masista walioshiriki katika Ibada ya jumapili ya Familia Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu
Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Paroko Msaidizi wa
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Fr. Asis Mendokta mara baada ya
Ibada ya jumapili ya Familia Takatifu
katika Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na waumini wa Kanisa la Katoliki
la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam mara baada ya
Ibada ya jumapili ya Familia Takatifu
katika Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na waumini wa Kanisa la Katoliki
la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam mara baada ya
Ibada ya jumapili ya Familia Takatifu
katika Kanisa hilo jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment