WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar,
Balozi Amina Salum Ali akisalimiana na Ofisa Mdhamini Ofisi ya Makamu wa Pili
wa Rais Pemba, Ali Salum Ali Mata mara baada ya kuwasili katika skuli ya
Michenzani Wilaya ya Mkoani, kwa lengo la kuweka jiwe la msingi katika skuli
hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar,
Balozi Amina Salum Ali, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la
msingi, banda la vyumba vinne vya skuli ya Msingi michenzani Wilaya ya Mkoani,
kushoto ni Naibu katibu mkuu Wizara ya Elimu na na Mafunzo ya Amali Zanzibar
Abdalla Mzee Abdalla, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WANAFUNZI wa Skuli ya Sekondari na Msingi Michenzani
Wilaya ya Mkoani, wakimsikiliza kwa makini hutuba ya waziri wa biashara Viwanda
na masoko Zanzibar Balozi Amina Salum Ali, wakati alipokuwa akizungumza nao
baada ya uwekaji wa jiwe la msingi katika skuli hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali wakiangalia ngoma
ya Nkota Ngoma ya mkoani, wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la skuli ya
msingi Michenzani Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA).
KATIBU Tawala Wilaya ya Mkoani Miza Hassan Faki,
akisoma utaratibu wa shuhuli ya uwekaji wa jiwe la Msingi katika skuli ya
Micheweni, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WANAFUNZI wa Skuli ya Sekondari Michezani Wilaya ya
Mkoani, wakiimba wimbo wa mashujaa :SISI SOTE TUMEGOMBA” mara baada ya uwekaji
wa jiwe la msingi la skuli ya msingi michenzani, ikiwa ni shamrashamra za miaka
54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali Zanzibar, Abdalla Mzee Abdalla, akisoma taarifa ya kitaalamu ya ujenzi wa
banda moja lenye vyumba vine vya kusomea wananfunzi wa msingi Michenzani Wilaya
ya Mkoani, ikiwa ni shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar
Mhe:Balozi Amina Salum Ali, akizungumza na wazazi, walezi, walimu na wanafunzi
wa skuli ya Msingi na Sekondari Michenzani Wilaya ya Mkoani, ikiwa ni
shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
No comments:
Post a Comment