NAIBU
katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
akiangalia moja ya milango iliyowekwa katika moja ya matuta, yaliyojengwa na
Tasaf kupitia kaya masikini Shehia ya Ndagoni, katika Boande la Kagu lenye wakulima
zaidi ya 350, ambao miaka ya nyuma walishindwa kulima mpunga.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
mwenye miwani akipiga marufuku wakulima kulima karibu na matuta yaliyojengwa na
Tasaf, kupitia kaya masikini shehia ya Ndagoni Wilaya ya Chake Chake, wakati wa
ziara ya kuangalia utekelezaji wa ilani ya CCM 2015/2020.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
akichimba msingi wa ujenzi wa tuta la kuzuwia maji chumvi katika bonde la
Uchangani, shehia ya Ndagoni Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
BAADHI
ya walengwa wa mpango wa kunusuru katika shehia ya Ndagoni, wakichimba msingi
wa kujengea tuta kwa lengo la kuzuwia maji chumvi yasivyamie mashamba ya
wananchi, katika bonge la Uchangani.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akimsikiliza
kwa makini mmoja ya walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya
Ndagoni, wakati alipotembelea wanakaya hao na kuangalia shughuli zao
wanazozifanya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
MRATIBU
wa Tassaf Pemba, Mussa Said akijibu maswali ya walengwa wa mpango wa kunusuru
kaya masikini, mbele ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk Abdalla Juma
Mabodi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dk Abdalla Juma Mabodi, akikagua shuhuli za
Upandaji wa miti ya Mikandaa, kutoka kwa moja ya walengwa wa mpango wa kunusuru
kaya masikini.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
akipata maelezo juu ya upangaji wa miti ya mikandaa, kutoka kwa mmoja ya
walengo wa kunusuru kaya masikini shehia ya Kukuu Kangani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
akimsaidia mmoja ya walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini, kufunga fundo
katika moja ya ncha ya kanga yake ili kuhifadhi fedha alizopatiwa na chama cha
Mapinduzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi,
akimkabidhi fedha mmoja ya wanakikundi cha usukaji na upakaji wa rangi shehia
ya Mtangani, wakati wa ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa ilani ya CCM
2015/2020. .(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
No comments:
Post a Comment