Meneja wa Mfuko wa Hifadh ya Jamii Zanzibar ZSSF Tawi la Pemba Rashid Mohammed Abdallah (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10, Kwa Kamati ya Skuli ya Sekondari Kiwani Kisiwani Pemba, kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa ya Skuli hiyo makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa ZSSF Tibirizi Chakechake Pemba leo.
SAMIA SCHOLARSHIP YACHOCHEA UBUNIFU WA KISASA NELSON MANDELA, TAASISI
YAANZA KUONA MATUNDA
-
Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson
Mandela, Prof. Maulilio Kipanyula, akisoma hotuba wakati wa Mahafali ya 11
yaliyofany...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment