MKUU
wa Wilaya ya Wete Abeid Juma Ali, akitoa historia fupi ya Utalii kwa Wilaya ya
Wete na Micheweni, wakati wa ziara ya Makamishna wa kamisheni ya Utalii
Zanzibar, huko katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
KATIBU
Tawala Mkoa wa Kaskazini Pemba, Ahmed Khalid Abdalla akizungumza katika kikao
cha pamoja na Makamishna wa kamisheni ya Utalii Zanzibar, huko katika Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MSHAURI
wa Rais Pemba Dk Mauwa Abeid Daftari, akizungumza katika kikao cha Pamoja na
Makamishna wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, huko katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA).
MKUU
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othman akizungumza na Makamishna wa
Kamisheni ya Utalii Zanzibar, wakati makamishna hao walipofika katika ofisi
hiyo kujitambulisha kwake na kuzan ziara yao ya siku mbili Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
KATIBU
mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dk Vuai Iddi Lila, akiwasilisha
mapendekezo na michango ya Kamisheni ya Utalii, kwa Viongozi wa Serikali ya
Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati makamishna wa kamisheni ya utalii Zanzibar
walipofanya ziara mkoa huo.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MWENYEKITI
wa kamisheni ya Utalii Zanzibar Sihaaba Saleh, akizungumza katika kikao cha
pamoja na makamishna wa kamisheni ya utalii Zanzibar na uongozi wa serikali ya
mkoa wa kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya siku mbili kwa makamishna wa
kamisheni hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
No comments:
Post a Comment