Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sajini Edgar Mwakapala akionesha jinsi ya kuzima moto kwa kutumia blanket maalumu la kuzimia moto kwa watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam. Wakati wa mafunzo ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto mapema leo asubuhi.
Mmoja kati ya watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala akifanya mafunzo ya kuzima moto kwa vitendo kwa kutumia kizimia moto chenye mchanganyiko wa maji na povu (Foam) wakati wa mafunzo ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto mapema leo asubuhi. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA HABARI NA ELIMU KWA UMMA - JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
lafanya ukaguzi wa vifaa vya kinga na
tahadhari dhidi ya moto pamoja na kutoa mafunzo ya matumizi ya vifaa vya
kuzimia moto vya huduma ya kwanza katika Hospitali ya rufaa ya Mwananyamala
jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment