Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed kulia akimkabidhi funguo za Gari Mkurugenzi wa Wakala wa chakula dawa na vipodozi Burhani Othmani Simai ambazo zilitolewa na GLOBAL FUND.
Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akijaribu kuliwasha moja kati ya magari mawili yaliyotolewa na Taasisi ya GLOBAL FUND.
Aina ya magari yaliotolewa na Kampuni ya GLOBAL FUND SUPPORT lenye thamani ya Shiling Milioni sabiini na tano (Picha na Abdalla Omar Maelezo –Zanzibar).
No comments:
Post a Comment