Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, Jamhuri yailaza Wawi Star 2-0

 MCHEZAJI wa Timu ya Wawi Star Rashid Saleh (Kulia) akitafuta mbinu za kumtoka mlinzi wa Timu ya Jamhuri Abdull Mahfoudh, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, Jamhuri kushinda bao 2-0 mchezo uliopigwa uwanja wa Gaombani(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MLINDA Malango wa Timu ya Jamhuri Abdulatif Said, akijiandaa kuruka juu kudaka mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, Jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 2-0 mchezo uliopigwa Uwanja wa Gombani(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MCHEZAJI wa Timu ya Jamhuri Ahmed Ali akitafuta mipango ya kumtoka mchezaji wa Timu ya Wawi Star, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar Kanda ya Pemba, Jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 2-0 mchezo uliopigwa uwanja wa Goambni(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WACHEZAJI wa Timu ya Wawi Star na Jamhuri wakiamulia baada ya kutokea sintofahamu ya kutaka kupigana wakati wa mchezo wa ligi kuu ya zanizbar kanda ya Pemba, mchezo uliopigwa katika dimba la Goambani(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WACHEZAJI wa Timu ya Jamhuri wakimpongeza mchezaji mwenzao Khamis Abrahman mwenye para, baada ya kuipatia timu yake ya bao la Pili katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, baina ya Wawi Star na Jamhuri, matokeo jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 2-0(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.