Wachuuzi wa Samaki Kisiwani Zanzibar wakiwa katika Mnada Marikiti Kuu Darajani wakifuatlia mnada huo wakati kunadiwa samaki wa aina mbalimbali waliofikishwa katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wateja. Katika mnada huo bei ya samaki imefika shilingi 30,000/= kutegemea aina na ukubwa wa samaki.
Tumieni Uzoefu Kuharakisha Mabadiliko - Balozi Kusiluka
-
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka akiongea na Mabalozi
katika warsha ya kutathimini utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje
inayofanyika mjini...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment