Wachuuzi wa Samaki Kisiwani Zanzibar wakiwa katika Mnada Marikiti Kuu Darajani wakifuatlia mnada huo wakati kunadiwa samaki wa aina mbalimbali waliofikishwa katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wateja. Katika mnada huo bei ya samaki imefika shilingi 30,000/= kutegemea aina na ukubwa wa samaki.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment