Wachuuzi wa Samaki Kisiwani Zanzibar wakiwa katika Mnada Marikiti Kuu Darajani wakifuatlia mnada huo wakati kunadiwa samaki wa aina mbalimbali waliofikishwa katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wateja. Katika mnada huo bei ya samaki imefika shilingi 30,000/= kutegemea aina na ukubwa wa samaki.
MBUNGE WA MSALALA AKABIDHI BAISKELI KWA WENYEVITI WA VIJIJI
-
Na Mwandishi Wetu, Malunde 1 blog
Mbunge wa Jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, Mhe. Iddi Kassim, ametoa
baiskeli 92 kwa wenyeviti wa vijiji vyote vya Hal...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment