Kocha Mkuu wa Timu ya African Magic akitowa maelekezo kwa Wachezaji wake wakati wa mapumziko ya kota ya 3 ya mchezo huo wa Kombe la Wazi kwa Wilaya ya Mjini Mchezo Uliofanyika maisara Timu ya African Magic imeshinda kwa Vikapu 75 - 52.
Kocha Mkuu wa Timu ya Mpira wa Kikapu ya Sixas akitowa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mapumziko ya kota ya tatu ya mchezo huo wakiwa nyuma kwa vikapu 55 - 40.
No comments:
Post a Comment