Tunawakumbusha wale wote wanao taka kushirik katika mkutano wa biashara na uwekezaji katika sekta ya utali uitwao zanzibar beautification summit utakao fanyika trh 16_20/8/2018 golden tulip hotel znz,..trh ya mwisho kwa washirik tareh 6/8/2018.kwa usajili pia wanafunz wa vio vikuu nk wanakaribishwa kwa offa malum kwa maelezo zaid piga no hii +255657147887 au +2556522154845. Newvisionconsortiumtrainers@gmail. Com karibun sana.utalii kwa wote .
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment