MSANII Saada Mohammed Bakari kutoka Kikundi
cha Taifa cha Taarab Zanzibar, akitumbuiza kwa Wimbo wa Mpewa hapokonyeki katika
Banda la Tanzania katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa ya China na Nchi za Asia
(CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning, Jimbo la Guangxi Nchini
China.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
WASANII kutoka Zanzibar, wakitumbuiza kwa
ngoma ya Kidumbaki katika Banda la Tanzania katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa
ya China na Nchi za Asia (CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning, Jimbo la
Guangxi Nchini China.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
WASANII kutoka Zanzibar, wakitumbuiza kwa
ngoma ya Kidumbaki katika Banda la Tanzania katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa
ya China na Nchi za Asia (CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning, Jimbo la
Guangxi Nchini China.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
RAIA wa China waliofika katika Banda la
Tanzania wakiangalia burudani ya Kidumbaki katika Maonesho ya 15 ya Kimataifa
ya China na Nchi za Asia (CAEXPO) yanayofanyika katika Mji wa Nanning, Jimbo la
Guangxi Nchini China.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
No comments:
Post a Comment