Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Lamadi
Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu akiwa anatokea Mkoa wa Mara alipokuwa na ziara
ya siku 4.Rais Magufuli ameanza ziara katika mkoa wa Simiyu.Septemba 8,2018
Naibu
Waziri wa Madini Dotto Biteko akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama ili kuzungumza na
Wananchi wa Lamadi Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu akiwa anatokea Mkoa wa Mara
alipokuwa na ziara ya siku 4.Rais Magufuli ameanza ziara katika mkoa wa Simiyu
Waziri
wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Suleiman
Jaffo akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama ili kuzungumza na Wananchi wa Lamadi
Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu akiwa anatokea Mkoa wa Mara alipokuwa na ziara
ya siku 4.Rais Magufuli ameanza ziara katika mkoa wa Simiyu
Waziri
wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama ili
kuzungumza na Wananchi wa Lamadi Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu akiwa anatokea
Mkoa wa Mara alipokuwa na ziara ya siku 4.Rais Magufuli ameanza ziara katika
mkoa wa Simiyu
Wananchi wa Lamadi wakimshangilia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
aliposimama ili kuzungumza nao akitokea Mkoa wa Mara alipokuwa na ziara ya siku
4.Rais Magufuli ameanza ziara katika mkoa wa Simiyu.Septemba 8,2018.
No comments:
Post a Comment