Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono wakati akiwasili katika eneo
la Bandari la Mwanza South.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia zoezi la utiaji saini Mikataba
mbalimbali ikiwemo Ujenzi wa Meli mpya ya abiria na mizigo, Chelezo, ukarabati
wa Meli za Mv Victoria na Mv Butiama, Mikataba ambayo ilisainiwa kati ya
Kampuni ya Huduma za Meli Tanzania Marine Services Company (MSCL) na Kampuni tatu za Korea Kusini
ambazo ni M/S STX engine Co ltd, Saekyung Construction ltd na KTMI Co ltd.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia zoezi la utiaji saini Mikataba
mbalimbali ikiwemo Ujenzi wa Meli mpya ya abiria na mizigo, Chelezo, ukarabati
wa Meli za Mv Victoria na Mv Butiama, Mikataba ambayo ilisainiwa kati ya
Kampuni ya Huduma za Meli Tanzania Marine Services Company (MSCL) na Kampuni tatu za Korea Kusini
ambazo ni M/S STX engine Co ltd, Saekyung Construction ltd na KTMI Co ltd.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi katika Bandari ya
Mwanza Kusini mara baada ya kushudia utiaji saini wa Mikataba mbalimbali
ikiwemo Ujenzi wa Meli mpya ya abiria na mizigo, Chelezo, ukarabati wa Meli za
Mv Victoria na Mv Butiama, Mikataba ambayo ilisainiwa kati ya Kampuni ya Huduma
za Meli Tanzania Marine Services Company (MSCL)
na Kampuni tatu za Korea Kusini ambazo ni M/S STX engine Co ltd, Saekyung
Construction ltd na KTMI Co ltd.
Baadhi ya wananchi waliofika katika
eneo la Bandari la Mwanza South
kushuhudia tukio hilo la kihistoria.
Mfano
wa Meli mpya itakayojengwa ambayo Mkataba wake umesainiwa. Meli hiyo itakuwa na
Urefu wa Mita 90, Kimo mita 10, uwezo wa kubeba abiria 1200 magari madogo 20,
mizigo tani 400 na itakuwa ikisafiri kwa muda wa masaa sita tu kutoka Mwanza
mpaka mkoa wa Kagera.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa Korea Kusini
hapa nchini Song Geum Yong watatu kutoka kushoto waliokaa,Mkuu wa Mkoa wa
Mwanza John Mongella wakwanza kulia waliokaa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe watatu kutoka kulia pamoja na wabunge
mbalimbali wa mikoa ya Kanda ya ziwa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha
na Balozi wa Korea Kusini hapa nchini Song Geum Yong watatu kutoka kushoto
waliokaa,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella wakwanza kulia waliokaa Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isaack Kamwelwe watatu kutoka kulia pamoja
na wandishi wa Habari mbalimbali waliokuwa wakihabarisha umma kuhusu tukio hilo
la utiaji saini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Korea Kusini hapa
nchini Song Geum Yong mara baada ya tukio hilo la utiaji saini ujenzi wa Meli,
Chelezo, pamoja na Ukarabati wa Meli. PICHA
NA IKULU
No comments:
Post a Comment