Mchezaji wa Timu ya Haile Sellasie Juma Abubakari akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki Yussuf Juma wakati wa Mchezo wa Fainali ya Tamasha la Elimu Bila Malipo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar Timu ya Haeli imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 37 - 23. na kutangazwa Bingwa wa Skuli za Sekondari Mchezo wa Basket Ball Mkoa wa Mjini na kuwakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Michuano ya Taifa ya Tamasha la Elimu Bila Malipo kwa Mikoa Mitano ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefungua Jengo la Skuli ya Sekondani Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba Ikiwa
ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa
Zanzibar na ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment