Habari za Punde

Tamasha la Elimu Bila Malipo Mchezo wa Fainali Kati ya Timu ya Sekondari ya Nyuki na Haile Sallesie Uliofanyika Viwanja Vya Maisara Timu ya Haeli Imeshinda Mchezo Huo Kwa Vikapu 37 - 23.

 Mchezaji wa Timu ya Haile Sellasie Juma Abubakari akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki Yussuf Juma wakati wa Mchezo wa Fainali ya Tamasha la Elimu Bila Malipo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar Timu ya Haeli imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 37 - 23. na kutangazwa Bingwa wa Skuli za Sekondari Mchezo wa Basket Ball Mkoa wa Mjini na kuwakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Michuano ya Taifa ya Tamasha la Elimu Bila Malipo kwa Mikoa Mitano ya Zanzibar. 













No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.