Mchezaji wa Timu ya Haile Sellasie Juma Abubakari akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki Yussuf Juma wakati wa Mchezo wa Fainali ya Tamasha la Elimu Bila Malipo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar Timu ya Haeli imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 37 - 23. na kutangazwa Bingwa wa Skuli za Sekondari Mchezo wa Basket Ball Mkoa wa Mjini na kuwakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Michuano ya Taifa ya Tamasha la Elimu Bila Malipo kwa Mikoa Mitano ya Zanzibar.
Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment