Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu)-(katikati)alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Taasisi ya "China National Research Insitute of Food and Fermantation Industries Corporation Ltd" inayotoa mafunzo ya Mapishi na Ukarimu kwa watendaji Mali Mali nchini ulioongozwa na Msaidizi Rais wa taasisi hiyo Bi.Luo Yangin (wa tatu kushoto) walipofika Ofinini kwake Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.]
ATE YAZINDUA MCHAKATO WA TUZO YA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2023
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka imeendelea kuwa tukio muhimu linalotambulika
katika ngazi ya kitaifa ambapo kwa miaka kadhaa ...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment