Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (Gavu)-(katikati)alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Taasisi ya "China National Research Insitute of Food and Fermantation Industries Corporation Ltd" inayotoa mafunzo ya Mapishi na Ukarimu kwa watendaji Mali Mali nchini ulioongozwa na Msaidizi Rais wa taasisi hiyo Bi.Luo Yangin (wa tatu kushoto) walipofika Ofinini kwake Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.]
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment