Habari za Punde

Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Mgeni Rasmin katika Ufunguzi wa Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti.Masheikh Watu Waliotangulia Kuliombea Taifa Amani Pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali Iliyofanyika Masjid Mohammed VI Bakwata Kinomdon Jijini Dar es Salaamu leo





RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, alipowasli katika viwanja vya Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu kwa ajili ya ufunguzi wa Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti.Masheikh, Watu Waliotangua na Kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, dua hiyo iliyofanyika leo 8-5-2025



















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.