RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, alipowasli
katika viwanja vya Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu
kwa ajili ya ufunguzi wa Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti.Masheikh, Watu Waliotangua
na Kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, dua hiyo
iliyofanyika leo 8-5-2025
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment