BIDHAA za Tungule zimeonekana kushamiri kwa kasi katika kipindi hiki Kisiwani Pemba. Pichani wananchi wakivuna tungule katika moja ya mashamba yao, huko Mjini Ole Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment