Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Mhe.Amina Salum Ali akitembelea maonesho ya Waganga wa Tiba Asilia Zanzibar wakati wa sherehe za Maadhimisho ya 16 ya Tiba Asilia Barani Afrika yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment