Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Afungua Tamasha la Urithi wa Mtanzania Viwanja Vya Maisara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed akiwa na Viongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kushoto Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Bara Mhe Mhe. Japhet Hasunga na kulia Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Bi. Khadija Bakari na Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakielekea katika mabanda ya maonesho ya Vyakula na Vitu vya Urithi wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo katika viwanja vya maisara leo.












No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.