Mshambuliaji wa Timu ya Polisi akimpita beki wa Timu ya Malindi wakati wa Mchezo wao wa Nusu Fainali ya Michuano Kombe la FA, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungano katika dakika 90 za mchezo huo.
Muamuzi wa mchezo huo na kuongeza dakika 30 katika mchezo huo wa Nusu Fainali ulichezwa katika Uwanja wa Amaan, katika dakika hizo zikimalikida na kiza kiingia katika uwanja huo na kusababisha mchezo kutomalizika zikiwa zimebaki dakika 7 za mchezo huo wa dakika za nyongeza imebidi refali kuahirisha mchezo huo hadi keshokutwa kumalizia dakika hizo 7 za mchezo huo ili kuweza kumpata mshinda na kushiriki mchezo wa Fainali ya Kombe la FA.
No comments:
Post a Comment