Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya Maji Machafu katika maeneo ambayo hujaa maji wakati wa kipindi cha Mvua za Masika katika maeneo ya Zanzibar.Tayari tatizo hilo limemepatikana ufumbuzi wake kwa kuendelea na ujenzi huo wa Mitaro hiyo unaofanywa kupita Wajenzi wa Kampuni ya Kichina ya CRJE wakitekeleza ujenzi huo katika moja ya eneo hilo katika sehemu ya sebleni ambalo hujaa maji na kuwalazimu Wananchi kuhama makazi yao.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya
Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco
Chapo mar...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment