Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya Maji Machafu katika maeneo ambayo hujaa maji wakati wa kipindi cha Mvua za Masika katika maeneo ya Zanzibar.Tayari tatizo hilo limemepatikana ufumbuzi wake kwa kuendelea na ujenzi huo wa Mitaro hiyo unaofanywa kupita Wajenzi wa Kampuni ya Kichina ya CRJE wakitekeleza ujenzi huo katika moja ya eneo hilo katika sehemu ya sebleni ambalo hujaa maji na kuwalazimu Wananchi kuhama makazi yao.
Je Nani Kukupatia Maokoto Siku ya Leo?
-
MECHI za UEFA leo hii zinaendelea baada ya jana kushuhudia mitanange kibao
ya kukata na shoka. Nafasi ya kuondoka na pesa unayo ndani ya Meridianbet,
ing...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment