Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya Maji Machafu katika maeneo ambayo hujaa maji wakati wa kipindi cha Mvua za Masika katika maeneo ya Zanzibar.Tayari tatizo hilo limemepatikana ufumbuzi wake kwa kuendelea na ujenzi huo wa Mitaro hiyo unaofanywa kupita Wajenzi wa Kampuni ya Kichina ya CRJE wakitekeleza ujenzi huo katika moja ya eneo hilo katika sehemu ya sebleni ambalo hujaa maji na kuwalazimu Wananchi kuhama makazi yao.
Elimu : Zaidi ya Washiriki 1,500 Kushiriki Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLearning Africa
-
ZAIDI ya washiriki 1,500 wakiwemo mawaziri wa elimu kutoka zaidi ya nchi 50
za Afrika wanatarajiwa kushiriki katika Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLear...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment