IPO haja kwa wazazi kuwa makini wakati wa kuwachukuwa watoto wao muda wa kutoka Skuli, pichani mmoja ya mwananchi wa Wilaya ya Wete akiwa amewapakia watoto watano pahali pamoja wakiwa wanatoka skuli, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu. (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment