IPO haja kwa wazazi kuwa makini wakati wa kuwachukuwa watoto wao muda wa kutoka Skuli, pichani mmoja ya mwananchi wa Wilaya ya Wete akiwa amewapakia watoto watano pahali pamoja wakiwa wanatoka skuli, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu. (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment