WASAMARIA wema na madereva wa gari mbali mbali, wanaopeleka wananchi katika ufukwe wa Vumawimbi ulioko Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakisaidia kusukuma gari iliyokwama kufuatia fukwe hiyo kuwa na uchafu mwingi katika kipindi hiki cha Upepo wa Kaskazi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefungua Jengo la Skuli ya Sekondani Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba Ikiwa
ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa
Zanzibar na ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment