WASAMARIA wema na madereva wa gari mbali mbali, wanaopeleka wananchi katika ufukwe wa Vumawimbi ulioko Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakisaidia kusukuma gari iliyokwama kufuatia fukwe hiyo kuwa na uchafu mwingi katika kipindi hiki cha Upepo wa Kaskazi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment