Habari za Punde

Wanafunzi skuli ya Mkanyageni wapatiwa vitabu vya kusomea

 WANAFUNZI wa skuli ya sekondari mkanyageni wakisoma vitabu mbali mbali, vilivyowekwa na watendaji wa Maktaba ya Chake Chake katika uhamasishaji wanafunzi kusoma vitabu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Mkanyageni wakisoma vitabu vilivyotolewa na watendaji wa maktaba ya Chake Chake, ikiwa na lengo la kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma .(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Mkanyageni wakisoma vitabu vilivyotolewa na watendaji wa maktaba ya Chake Chake, ikiwa na lengo la kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma .(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.