Katibu Mtendaji Kamisheni ya Utalii Zanzibar Abdalla Mohamed, akizungumza na kumkaribisha Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale kwenye maadhimisho ya Mvumbuzi wa mambo ya kale Dr. David Livingston yaliofanyika kwenye Jengo hilo Gulioni Mjini Unguja (PICHA NA ABDALLA OMAR).
Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo, akiwahutubia wananchi waliohudhuria maadhimisho ya Mvumbuzi wa mambo ya kale Dr. David Livingston, ghafla iliofanyika kwenye Jengo hilo Golioni Mjini Unguja (PICHA NA ABDALLA OMAR).
Wananchi mbalimbali waliohdhuria siku ya maadhimisho ya Mvumbuzi wa mambo ya kale Dr. David Livingston yaliofanyika kwenye Jengo hilo Golioni Mjini Unguja (PICHA NA ABDALLA OMARWananchi mbalimbali waliohdhuria siku ya maadhimisho ya Mvumbuzi wa mambo ya kale Dr. David Livingston yaliofanyika kwenye Jengo hilo Gulioni Mjini Unguja (PICHA NA ABDALLA OMAR
No comments:
Post a Comment