Baadhi ya vyerahani ambavyo ni msaada kutoka kwa uongozi wa Ofisi ya halmshauri ya Wilaya ya kati kwa vikundi vya wana ushirika
Baadhi ya mipira ya maji ambayo ni msaada kutoka kwa kuongozi wa halmshauri ya Wilaya ya kati kwa vikundi vya wana ushirika
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kati , Bw Said Mtaji Askari akikabidhi Vyerahani kwa wanaushirika kutoka Unguja Ukuu, Chwaka, Ndijani na Tunguu ili kuwasaidia katiika kujikwamua kiuchumi
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
3 hours ago





No comments:
Post a Comment