Mkuu wa kurugenzi ya Elimu ya Wapiga Kura, Habari na Uhusiano Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu. Juma Sanifu Sheha akifunga semina ya Wanafunzi Skuli ya Sekondari ya Mtule Wilaya ya Kusini kuhusu maandalizi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura. Semina hiyo ilifanyika tarehe 15/04/2019
NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment