Mkuu wa kurugenzi ya Elimu ya Wapiga Kura, Habari na Uhusiano Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu. Juma Sanifu Sheha akifunga semina ya Wanafunzi Skuli ya Sekondari ya Mtule Wilaya ya Kusini kuhusu maandalizi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura. Semina hiyo ilifanyika tarehe 15/04/2019
Elimu : Tazama Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2025
-
Maktaba: Picha kwa Hisani ya Gadiola Emanuel - Hady Class 7 Mwaka 2017
Bofya Hapa Kutazama Matokeo
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025
Wazal...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment