Mkuu wa kurugenzi ya Elimu ya Wapiga Kura, Habari na Uhusiano Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu. Juma Sanifu Sheha akifunga semina ya Wanafunzi Skuli ya Sekondari ya Mtule Wilaya ya Kusini kuhusu maandalizi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura. Semina hiyo ilifanyika tarehe 15/04/2019
MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AKABIDHIWA KITABU CHA MIAKA 60 YA JMT
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akikabidhiwa Kitabu cha Safari ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania k...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment