Mkuu wa kurugenzi ya Elimu ya Wapiga Kura, Habari na Uhusiano Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu. Juma Sanifu Sheha akifunga semina ya Wanafunzi Skuli ya Sekondari ya Mtule Wilaya ya Kusini kuhusu maandalizi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura. Semina hiyo ilifanyika tarehe 15/04/2019
BARABARA KOROFI YA MABOGINI - KAHE KUJENGWA KWA LAMI- MHE MCHENGERWA
-
Na John Mapepele -Moshi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo
amekagua uharibifu wa barabara ya Spencon- Fongagate- Mabogi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment