Habari za Punde

Kutoka Bungeni Jijini Dodoma

Mrembo wa mashindano ya Miss Journalism, Mina Yevtushenko kutoka Ukraine, akiwa katika ukumbi wa Bunge akitambulishwa jijini Dodoma, 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angelina Mabula, Bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.