Habari za Punde

RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI PAMOJA NA RAIS WA NAMIBIA MHE. DKT. HAGE GEINGOB WAZINDUA MTAA WA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE KATIKA JIJI LA WINDHOEK NCHINI NAMIBIA MEI 27, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akifunua kitambaa na mwenyeji wake Rais wa Namibia Mhe.Dkt. Hage Geingob kuashiria uzinduzi rasmi wa mtaa wa  Julius K. Nyerere ulipo katika Jiji la Windhoek Nchini Namibia. Mei 27, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa mwenyeji wake Rais wa Namibia Mhe.Dkt. Hage Geingob alipokuwa akimuonyesha Makongoro Nyerere mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mtaa mpya unaoitwa JULIUS K. NYERERE uliopo katika Jiji la Windhoek Nchini Namibia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi na mwenyeji wake Rais wa Namibia Mhe.Dkt. Hage Geingob mara baada ya kuzindua mtaa mpya wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere unaoitwa JULIUS K. NYERERE uliopo katika Jiji la Windhoek Nchini Namibia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akipongezana na mwenyeji wake Rais wa Namibia Mhe.Dkt. Hage Geingob mara baada ya kuzindua mtaa mpya wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere unaoitwa JULIUS K. NYERERE uliopo katika Jiji la Windhoek Nchini Namibia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza Watanzania wanaoishi  Namibia  mara baada ya kuzindua mtaa mpya wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere unaoitwa  JULIUS K. NYERERE uliopo katika Jiji la Windhoek Nchini Namibia.Mei 27, 2019
Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.