RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya
CCM Kisiwandui Zanzibar akisalimiana naMjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mwalimu Kombo, kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar
MJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,.
Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba
Mzee Hamad Mberwa, alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Zanzibar kuhudhuria Kokao cha Kamati Maalu ya CCM Zanzibar.
Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya Taifa CCM na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi wa CCM Afisi Kuu
Zanzibar, alipowasili kuhudhuria Kikoa cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kushoto Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa ya
CCM na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM na Makamu wa Pili wa
Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na kulia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa
CCM Mwalimu Kombo, wakiwa wamesimama baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano
wa Kikoa cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar uliofanyikia Afisi Kuu ya CCM
Zanzibar
WAJUMBE
wa Kamati Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa wamesimama wakati wa kuwasili Makamu
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kuongoza Kikoa cha
Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika Afiki Kuu ya CCM
Kisiwandui Zanzibar.
WAJUMBE
wa Kamati Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa wamesimama wakati wa kuwasili Makamu
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kuongoza Kikoa cha
Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika Afiki Kuu ya CCM
Kisiwandui Zanzibar
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akijiandaa kufungua Mkutano wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar,
kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kushoto Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya Taifa CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya Taifa CCM Mhe. Balozi Seif Ali Iddi
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua
Mkutano wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika
ukumbi wa Afiri Kuu ya CCM Zanzibar, kushoto Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa
Mhe.Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Balozi
Seif Ali Iddi
No comments:
Post a Comment