Habari za Punde

Kitengo Cha Malalamiko Wizara ya Mambo ya Ndani

 OfisawaKitengo cha KushughulikiaMalalamikoKivaulaMsigwawaWizaraya Mambo ya Mambo yaNdaniyaNchiakitoamaelekezokwabaadhiyawawakilishiwawananchi 54 kutokaKijiji cha Ihenga, WilayayaKilombero, MkoawaMorogorobaadayakusikilizwa, kuhudumiwamalaalmikoyaoyakunyang’anywamashambanamwekezajiKilombero Farmnakubambikiwakesiyakuvamiamashambanakutishiaamanikwamwekezaji
Baadhiyawawakilishiwawananchi 54 kutokaKijiji cha Ihenga, WilayayaKilombero, MkoawaMorogorowakipandagarichiniyausimaziwaMaofisakutokaKitengo cha KushughulikiaMalalamikokwendakwaKamishnawaArdhi, baadayakutokakatikaKitengohichokilichopoWizaraya Mambo yaNdaniyaNchiambapowalifikishamalalamikoyakunyang’anywamashambanamwekezajiKilombero Farm, kubambikiwakesiyakuvamiamashambanakutishiaamanikwamwekezaji.
Baadhiyawawakilishiwawananchi 54 kutokaKijiji cha Ihenga, WilayayaKilombero, MkoawaMorogorowakiwashukuruMaofisawaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchiKitengocha KushughulikiaMalalamikobaadayakusikilizamalalamikoyaoyakunyang’anywamashambanamwekezajiKilombero Farm, kubambikiwakesiyakuvamiamashambanakutishiaamanikwamwekezaji.

MaofisawaKitengo cha KushughulikiaMalalamiko, Wizaraya Mambo yaNdaniyaNchiwakiwakatikapichayapamojanabaadhiyawawakilishiwawananchi 54 kutokaKijiji cha Ihenga, WilayayaKilombero, MkoawaMorogoroambaowaliwasilishamalalamikoyaoyakunyang’anywamashambanamwekezajiKilombero Farm, kubambikiwakesiyakuvamiamashambanakutishiaamanikwamwekezaji.

1 comment:

  1. Hongereni sana wizara ya mambo ya ndani ya nchi kwa kuendelea kusikiliza malalamiko ya wananchi kwani kitengo hiki kimekuwa na faraja kubwa sana kwa nchi yetu.Mungu aendelee kuwasimamia na azidi kuwapa nguvu zaidi katika kazi zenu za kila siku.mbarikiwe sana

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.